
Na Sixmund Begashe, Arusha
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Januari 31, 2026 ametembelea Hifadhi ya Taifa Arusha ikiwa ni masaa machache kabla ya tukio kubwa la Serengeti Awards linalofanyika leo katika Hoteli ya Mt. Meru jijini Arusha.
Waziri Mkuu Nchemba ambaye anatarajiwa kuwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya Tuzo hizo, akiwa na mwenyeji wake ambaye ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) wametembelea pia eneo la maporomoko ya Maji Tululusia.
Ziara hiyo imehudhuriwa pia na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA. Amos Makalla, Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi na watendaji walengine wa Wizara ya Maliasili na Utalii.





Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Januari 31, 2026 ametembelea Hifadhi ya Taifa Arusha ikiwa ni masaa machache kabla ya tukio kubwa la Serengeti Awards linalofanyika leo katika Hoteli ya Mt. Meru jijini Arusha.
Waziri Mkuu Nchemba ambaye anatarajiwa kuwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya Tuzo hizo, akiwa na mwenyeji wake ambaye ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) wametembelea pia eneo la maporomoko ya Maji Tululusia.
Ziara hiyo imehudhuriwa pia na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA. Amos Makalla, Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi na watendaji walengine wa Wizara ya Maliasili na Utalii.






No comments:
Post a Comment