BADEA ni miongoni mwa Taasisi za Fedha zenye mchango mkubwa wa maendeleo nchini Tanzania kupitia misaada na mikopo nafuu ikiwemo kuwa sehemu ya wadau waliochangia utekelezaji wa mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe , mkoani Kilimanjaro na Tanga, ulioghatimu shilingi bilioni 407.07, ambapo shilingi bilioni 244.10 zimetolewa na taasisi za fedha ikiwemo BADEA na kiasi cha shilingi bilioni 162 kilitolewa na Serikali ya Tanzania.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Congo Brazzaville)


No comments:
Post a Comment