EWURA YAKABIDHI GAWIO LA BILIONI 10.6 KWA RAIS SAMIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Wednesday, July 1, 2026

EWURA YAKABIDHI GAWIO LA BILIONI 10.6 KWA RAIS SAMIA



Naibu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya EWURA, Mha. Ngosi Mwihava (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Ndg. Gerald Maganga (Kulia) wakimkabidhi Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan mfano wa hundi kama ishara ya kukabidhi Hazina mchango wa kisheria wa taasisi hiyo wa Sh. 10.6 bilioni, kwa mwaka wa Fedha 2025/26, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jana.

No comments:

Post a Comment