AROUNA KONE AWAFANYA MBAYA SUNDERLAND, APIGA HAT TRICK EVERTON IKIUA 6-2 - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Monday, November 2, 2015

AROUNA KONE AWAFANYA MBAYA SUNDERLAND, APIGA HAT TRICK EVERTON IKIUA 6-2



Mshambuliaji Arouna Kone akiifungia Everton moja ya mabao yake matatu jana katika ushindi wa 6-2 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Goodison Park, mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Deulofeu, Coates la kujifunga na Lukaku, wakati ya Sunderland yalifungwa na Defoe na Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA

No comments:

Post a Comment