Cristiano Ronaldo kathibitisha haiwazi Man City hata kidogo.. Pesa tatizo kwake? - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Friday, November 6, 2015

Cristiano Ronaldo kathibitisha haiwazi Man City hata kidogo.. Pesa tatizo kwake?

Kwa mara nyingine tena nakutana na headlines zinazomtaja staa wa soka Cristiano Ronaldo.. ana mpango wa kuhama? Jibu ni NO !! Ikitokea anahama, tutegemee atavaa jezi ya Manchester City ??
Majibu kayatoa kwenye sentensi chache tu, anathibitisha kwamba hana mpango na Man City hata kidogo >>>> ‘Mnadhani pesa itaweza kubadili akili yangu wakati huu nikiwa na umri wa miaka 30? Sidhani kama inawezekana… kama ni ishu ya pesa basi ningeenda Qatar ambako nadhani wana pesa nyingi zaidi kuliko Man City‘ >>> Cristiano Ronaldo.
C Ronaldo
Kulikuwa na uvumi na tetesi kwenye Ulimwengu wa soka zikimtaja Ronaldo na mpago wa Man City… Hilo swali tayari kalijibu kwenye hizo sentensi zake chache tu mtu wangu, akimaanisha kwamba pesa sio tatizo kwenye soka lake!!

No comments:

Post a Comment