MBWANA SAMATTA 'AUZA' DAILY MAIL LA UINGEREZA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Monday, November 9, 2015

MBWANA SAMATTA 'AUZA' DAILY MAIL LA UINGEREZA



Gazeti kubwa nchini Uingereza, Daily Mail limepamba picha ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta akishangilia bao lake alilofunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya USM Alger mjini Lubumbashi jana kwenye Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Samatta alifunga la kwanza la pili akafunga Rogger Assale na kufanya ushindi wa jumla wa 4-1 baada ya awali kushinda pia 2-1 mjini Algiers wiki iliyopita. Samatta alifunga pia Algiers na ndiye ameibuka mfungaji bora wa michuano ya mwaka huu kwa mabao yake saba.    

No comments:

Post a Comment