Leo anaambiwa ahakiki invoice aone kama ziko sawa anaonekana kusitasita, inamaana anajua madudu yapo ila hataki kuwa mhanga wa hayo madudu kama alivyo hepa yale madudu ya escrow.
Ukweli uchumi wetu hauwezi kuimarika kama tunae Gavana asiyekuwa na weledi wa kusimamia hazina yetu. Gavana ambaye hajui idadi ya wafanyakazi wake anawezaje kujua usalama wa hazina yetu? Mbele ya media wenzie walikiri wapo watumishi kanyaboya halafu yeye anasema tumwambie ni nani kweli?
Chanzo:Eddy/Jamii Forums
No comments:
Post a Comment