Kutokana na muongozo wa kanuni hiyo kuna wasi wasi mkubwa kwa mabingwa watetezi Real Madrid waliomaliza katika nafasi ya pili, wakakutana na mmoja wa vigogo wa soka barani hyumo,jamboa mbalo linasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka duniani kote.
Vigogo wengine waliomaliza katika nafasi ya pili ni FC Bayern Munich, Juventus na Chelsea.
Hafla ya upangaji wa michezo ya hatua ya mtoano (16 bora), itafanyika Desemba 11 makao makuu ya shirikisho la soka barani Ulaya yaliopo mjini Nyon nchini Uswiz.
Timu zilizomaliza katika nafasi ya kwanza katika makundi yote manane.
Manchester United
Paris Saint-Germain
AS Roma
FC Barcelona
Liverpool
Manchester City
BeÅŸiktaÅŸ
Tottenham Hotspur
Timu zilizomaliza katika nafasi ya pili katika makundi yote manane.
FC Basel
FC Bayern Munich
Chelsea
Juventus
Sevilla
Shakhtar Donetsk
FC Porto
Real Madrid