Lakini waandamanji wamekusanyika Jumamosi katika miji kadhaa mikubwa nchini Australia dhidi ya mamlaka ya chanjo. Polisi wanasema kiasi ya waandamanaji 10,000 wamekusanyika mjini Sydney.
Waandamanaji wengine wapatao 2,000 wamefanya maandamano mjini Melbourne lakini ya kupinga maandamano yanayopinga chanjo. Australia imerekodi visa 195,000 na vifo 1,933 vya corona katika idadi jumla ya watu zaidi ya milioni 25 tangu kuanza kwa mlipuko wa corona
No comments:
Post a Comment