Wachezaji watano ambao waliiongia kwenye tano bora ni Lionel Messi(PSG), Ngolo Kante (Chelsea), Jorginho (Chelsea),Robert Lewandowski (Bayan Munich) na Karim Benzema (Real Madrid).
Messi amefanikiwa kuchukua tuzo hiyo mara saba kwake na kumuacha Christian Ronaldo ambaye amechukua tuzo hiyo mara tano.
Tuzo ya mchzaji bora kijana chini ya umri wa miaka 21 imekwenda kwa PEDRI (19)
Huku tuzo ya mshambuliaji bora wa FIFI ikichukulia na mshabulia wa Bayern Munich Robert Lewandowski
Alexia Putellas mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ballon D'Or kwa upande wa wanawake lakini pia ni kiungo mshambuliaji wa klabu ya Barcelona.
Huko Golkipa bora wa mwaka tuzo jiyo ikichukuliwa na Gigi Donnarumma wa PSG na timu ya taifa ya Italia.
Tuzo ya klabu bora ya mwaka imeenda kwa timu ya Chelsea ambayo imekjuwa na wachezaji wengi walioingia kwenye kinyang'anyiro ya tuzo ya Ballon D'OR.
Tuzo hizo zimetolewa leo usiku Novemba 29,2021 nchini Ufaransa.
No comments:
Post a Comment