Katika kisa kisichokuwa cha kawaida, Hellen Achieng' na wanawe wanne wenye umri wa kati ya miaka saba na 24 walipofuka ghafla kabla ya kukimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Migori kwa matibabu.
George Omondi aliambia Nation kuwa mpwa wake mwenye umri wa miaka 12, ambaye alikuwa anaishi na familia hiyo, alianza kutetemeka baada ya kupoteza uwezo wa kuona na kisha baadaye alizirai na kufariki dunia.
No comments:
Post a Comment