Watu hao wanaoshikiliwa ni Dereva wa pikipiki na Mganga wa kienyeji ambao wanadaiwa walifanya mauaji hayo kwa kushirikiana na kisha kufukia mwili wake.
Kamanda wa Polisi mkoani humo, James Manyama, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amedai kuwa Lidya alikuwa ameenda kuzindika fedha za biashara kwa mganga huyo kiasi cha sh. milioni 9.5 lakini watuhumiwa hao walipora fedha hizo na kumuua.
No comments:
Post a Comment