Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa polisi mkoa wa Songwe Rashid Ngonyani, amesema kuwa ajali hiyo imetokea hii leo Machi 14, 2022, ambapo basi hilo lilitumbukia kwenye korongo na kuviringika mara kadhaa.
Miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika hospitali ya Vwawa mkoani Songwe na majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu.



No comments:
Post a Comment