MBUNGE WA CHADEMA AWEKA NGUMU.  - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, April 23, 2022

MBUNGE WA CHADEMA AWEKA NGUMU. 


Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe.Aida Kenan

Na Mwandishi wetu Dodoma

Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe.Aida Kenani amezidi Kutrendi kwenye vichwa mbalimbali vya Habari Nchini baada ya kumjia juu mkuu wa wilaya Nkasi mkoani Rukwa alipokuwa akichangia hoja kwenye kikao cha 7 cha bunge la bajeti la 12 Jijini Dodoma. 

Mhe.Aidan amesikitishwa na kitendo alichokifanya Mkuu wa wilaya ya Nkasi Mhe.Lijualikali kwa kuwasweka lumande Walimu wa jimboni kwake kwa madai ya kutosimamia vizuri pesa za Covid 19 zilizoletwa na Mhe.Rais Samia Suluhu.

No comments:

Post a Comment