Na Okuly Julius Dodoma
“Nimesikia changamoto za uendeshaji wa ofisi na nina ahidi kutoa milioni kumi kwa kila mkoa ili kutatua kero hiyo”Amesema Mhe.Samia Suluhu Hassan alipozungumza na wamachinga kwa njia ya Simu wanaoendelea na mafunzo yao katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma leo Mei 16,2022.
No comments:
Post a Comment