![]() |
Waziri wa Maji Jumaa Aweso akizungumza wakati akizindua Bodi ya Nne ya Maji ya Taifa leo jijini Dodoma juni 30,2022 |
Na Okuly Julius-Dodoma
Akizindua Bodi ya Nne ya Maji ya Taifa leo jijini Dodoma Mh jumaa Aweso amesema kuwa Rasilimali za Maji ndiyo moyo katika kufanya Mageuzi Makubwa ya kiuchumi.
Aidha.Mh Aweso amesema kuwa ili wizara ya Maji iweze kufanikiwa katika suala zima la ulindaji na usimamizi wa Rasilimali za Maji ni lazma kuwashirikisha viongozi na jamii kwa ujumla.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Nne ya Maji ya Taifa Eng.Mbogo Futakamba ameithibitishia serikali kuwa watafanya kazi kwa juhudi,weledi na Maarifa.
No comments:
Post a Comment