KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA SHIRIKA LA MADINI LA TAIFA (STAMICO) . - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Friday, August 12, 2022

KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA SHIRIKA LA MADINI LA TAIFA (STAMICO) .


Mgeni rasmi ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango.

Hafla inayofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre - Dodoma

#Tunajivuniakutimizamiaka50kwakishindo

Zifuatazo ni  baadhi ya picha za matukio katika maadhimisho hayo.

#STAMICOnaMazingiraAt50

No comments:

Post a Comment