WALIOFARIKI NI 19 AJALI YA NDEGE-MAJALIWA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, November 6, 2022

WALIOFARIKI NI 19 AJALI YA NDEGE-MAJALIWA


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amethibitisha kuwa Watu 19 ya wamefariki katika ajali ya Ndege ya kampuni ya Precision Air huku akiagiza uchunguzi ufanyike ili kubaini watu wawili wanaozidi kwenye idadi iliyoainishwa mwanzo ya watu 43.

Waziri Mkuu Ameyasema hayo baada ya kufika katika Eneo ambalo Ndege hiyo imezama Mkoani Bukoba.

Hatua hiyo imekuja baada ya kupatikana kwa miili hiyo 19 na wengine 26 kuokolewa, hivyo kufanya idadi ya watu.

Ndege hiyo iliyokuwa ikitokea Mkoani Dar es salaam kwenda Mkoani Bukoba ilianguka kwenye ziwa Viktoria asubuhi ya Leo 6 November 2022, Huku Chanzo Cha ajali hiyo ikitajwa kuwa ni mvua kubwa, ukungu na upepo mkali Hali iliyosababisha Ndege hiyo ya Shirika la Precision Air kuanguka kwenye ziwa Viktoria.

No comments:

Post a Comment