![]() |
Megan Hess(kushoto), akiwasili kwenye Mahakama ya Wayne Aspinall na wakili wake mnamo Jumanne, Januari 3. Picha: RJ Sangosti. Chanzo: Getty Images |
Mmiliki wa zamani wa makafani katika Jimbo la Colorado, Marekani, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani kwa kuwalaghai jamaa za waliofariki na kuuza viungo vya miili ya maiti 560 bila idhini.
Megan Hess, 46, aliungama makosa ya ulaghai mnamo Julai 2022, akiendesha hifadhi ya maiti ya Sunset Mesa.
CHANZO NI TUKO.co.ke.
No comments:
Post a Comment