Waziri Kijaji ameyasema hayo Agosti 1, 2023 alipotembelea Kiwanda cha A to Z kilichopo jijini Arusha kwa lengo la kujionea shughuli za uzalishaji kiwandani hapo na kusikiliza na kitatua changamoto walizonazo.
Aidha, Amewataka wafanyabiashara kuwa na ushirikiano na Serikali katika kutoa changamoto wanazozipata na watoe mapendekezo ya suluhisho za changamoto hizo kwa kuwa Serikali ipo tayari kuzishughulikia
No comments:
Post a Comment