| Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akisalimiana na Mbunge wa zamani wa Rombo Mhe. Joseph Selasini kwenye Msiba wa Hayati Edward Ngoyai Lowassa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Kijiji cha Ngarash Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha. |
No comments:
Post a Comment