MATUKIO KATIKA PICHA : VIONGOZI PAMOJA NA WATUMISHI OFISI YA WAZIRI MKUU MARA BAADA YA UWASILISHWAJI WA HOTUBA YA WAZIRI MKUU - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Wednesday, April 3, 2024

MATUKIO KATIKA PICHA : VIONGOZI PAMOJA NA WATUMISHI OFISI YA WAZIRI MKUU MARA BAADA YA UWASILISHWAJI WA HOTUBA YA WAZIRI MKUU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Ofisi yake Dkt. Jim Yonazi mara baada ya kuwasilishwa kwa Hotuba ya Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025 katika Mkutano wa 15 kikao cha pili Jijini Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa Ofisi yake Dkt. Jim Yonazi mara baada ya kuwasilishwa kwa Hotuba ya Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025 katika Mkutano wa 15 kikao cha pili Jijini Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya OSHA Bi. Khadija Mwenda mara baada ya kuwasilishwa kwa Hotuba ya Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2024/2025 katika Mkutano wa 15 kikao cha pili Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Sera na Mipango Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bw.Saidi Mabie (kushoto) mara baada ya kuwasilishwa kwa Hotuba ya Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025 katika Mkutano wa 15 kikao cha pili Jijini Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akifurahia jambo na Afisa Habari wa ofisi hiyo Bi. Nyamagory Kitwara mara baada ya kuwasilishwa kwa Hotuba ya Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025 katika Mkutano wa 15 kikao cha pili Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akizungumza na Afisa Habari wa ofisi hiyo Bi. Nyamagory Kitwara mara baada ya kuwasilishwa kwa Hotuba ya Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025 katika Mkutano wa 15 kikao cha pili Jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (wa tano kutoka kushoto), Naibu waziri wake Mhe. Ummy Nderiananga (kulia kwake), Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulamavu) Mhe. Patrobas Katambi (wa nne kutoka kushoto) Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi (wa nne kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na wakuu wa Taasisi za Ofisi hiyo mara baada ya kuwasilishwa kwa Hotuba ya Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025 katika Mkutano wa 15 kikao cha pili Jijini Dodoma.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

No comments:

Post a Comment