DKT. YONAZI ASHIRIKI KONGAMANO LA BMF - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Tuesday, July 30, 2024

DKT. YONAZI ASHIRIKI KONGAMANO LA BMF


Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameshiriki katika Kongamano lililoandaliwa na Taasisi ya Benjamin Mkapa (BMF) kuhusu Umuhimu wa Uratibu katika Kuendeleza Rasilimali Watu katika Sekta ya Afya. Kongamano hilo lilifanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere International Conference Centre (JNICC) tarehe 30 Julai, 2024 Jijini Dar es Salaam.

Mgeni Rasmi katika Kongamano hilo alikuwa Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

No comments:

Post a Comment