Mchezaji na Kiungo mshambuliaji Kassim Haruna "Tiote" 🇹🇿 amejiunga na Fountain Gate Fc akitokea Mtibwa Sugar.
Hata hivyo Kassimu Haruna amewahi kupita vilabu kadhaa ikiwemo Sahare All Stars pamoja na Polisi Tanzania ya Kilimanjaro.
#UsajiliNBC
Mchezaji na Kiungo mshambuliaji Kassim Haruna "Tiote" 🇹🇿 amejiunga na Fountain Gate Fc akitokea Mtibwa Sugar.
Hata hivyo Kassimu Haruna amewahi kupita vilabu kadhaa ikiwemo Sahare All Stars pamoja na Polisi Tanzania ya Kilimanjaro.
#UsajiliNBC
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imewataka wamiliki wa viwanda vinavyotumia kemikali ...
No comments:
Post a Comment