Mchezaji na Kiungo mshambuliaji Kassim Haruna "Tiote" 🇹🇿 amejiunga na Fountain Gate Fc akitokea Mtibwa Sugar.
Hata hivyo Kassimu Haruna amewahi kupita vilabu kadhaa ikiwemo Sahare All Stars pamoja na Polisi Tanzania ya Kilimanjaro.
#UsajiliNBC
Mchezaji na Kiungo mshambuliaji Kassim Haruna "Tiote" 🇹🇿 amejiunga na Fountain Gate Fc akitokea Mtibwa Sugar.
Hata hivyo Kassimu Haruna amewahi kupita vilabu kadhaa ikiwemo Sahare All Stars pamoja na Polisi Tanzania ya Kilimanjaro.
#UsajiliNBC
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ruangwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kaspar Mmuya, tayari ameshapiga kura katika Kituo cha Zahanati kijiji ...
No comments:
Post a Comment