Mchezaji na Kiungo mshambuliaji Kassim Haruna "Tiote" 🇹🇿 amejiunga na Fountain Gate Fc akitokea Mtibwa Sugar.
Hata hivyo Kassimu Haruna amewahi kupita vilabu kadhaa ikiwemo Sahare All Stars pamoja na Polisi Tanzania ya Kilimanjaro.
#UsajiliNBC
Mchezaji na Kiungo mshambuliaji Kassim Haruna "Tiote" 🇹🇿 amejiunga na Fountain Gate Fc akitokea Mtibwa Sugar.
Hata hivyo Kassimu Haruna amewahi kupita vilabu kadhaa ikiwemo Sahare All Stars pamoja na Polisi Tanzania ya Kilimanjaro.
#UsajiliNBC
Kesi Na. ECC. 9258/2026 inayowakabili watu watatu kwa tuhuma za ubadhilifu wa zaidi ya shilingi milioni 103 imeanza kusikilizwa katika Mahak...
No comments:
Post a Comment