
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekutana na Wataalam wa Habari na Maendeleo ya Jamii kutoka Wizara za Kisekta, Taasisi za Serikali, Ofisi za Mikoa ya Arusha, Manyara, Singida, Shinyanga, Mashirika Yasiyo ya Kiserikali pamoja na wadau wa maendeleo kwa lengo la kutoa mafunzo na uelewa wa pamoja juu Mkakati wa Mawasiliano wa Mpango wa Gender Transformative Action Programme (GTAP) Julai 16, 2024 Jijini Arusha.










No comments:
Post a Comment