Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwa na Viongozi na Watendaji wa Wilaya ya Rorya wakifuatilia taarifa zilizokuwa zikitolewa kabla ya Waziri huyo, kukagua na kuzindua Shule ya Msingi Komote wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua na kuzindua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Mara. |
No comments:
Post a Comment