DKT. BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA NISHATI WA VIONGOZI - AFRIKA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Monday, January 27, 2025

DKT. BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA NISHATI WA VIONGOZI - AFRIKA



Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300) inayofanyika leo Januari 27, 2025 jijini Dar es salaam.

Taarifa zaidi zitakufikia kadri zinavyoendelea kupatikana.












No comments:

Post a Comment