
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza wakati wa Mkutano wa Magavana wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) katika Nchi za Afrika Kundi la Kwanza (Africa Group I Constituency – IMF), ikiwa ni sehemu ya mikutano ya majira ya Kipupwe ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Benki ya Dunia, inayoendelea jijini Washington D.C, nchini Marekani, ambapo alizishauri nchi za Afrika kuweka mikakati ya kufanya uwekezaji na biashara ndani ya Bara la Afrika ili kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya sera za kiuchumi zinazojitokeza hivi sasa.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb)(kulia), akizungumza wakati wa Mkutano wa Magavana wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) katika Nchi za Afrika Kundi la Kwanza (Africa Group I Constituency – IMF), ikiwa ni sehemu ya mikutano ya majira ya Kipupwe ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Benki ya Dunia, inayoendelea jijini Washington D.C, nchini Marekani, ambapo alizishauri nchi za Afrika kuweka mikakati ya kufanya uwekezaji na biashara ndani ya Bara la Afrika ili kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya sera za kiuchumi zinazojitokeza hivi sasa. Kushoto ni Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Washington D.C, Marekani)
No comments:
Post a Comment