MKUU WA MKOA WA MWANZA SAID MTANDA ATOA MCHANGO KWA WANA SIMBA TAWI LA IGOMA KUELEKEA SAFARI YA DAR ES SALAAM - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, April 6, 2025

MKUU WA MKOA WA MWANZA SAID MTANDA ATOA MCHANGO KWA WANA SIMBA TAWI LA IGOMA KUELEKEA SAFARI YA DAR ES SALAAM


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amewachangia Wana Simba wa Tawi la Igoma Mwanza Shilingi Milioni Moja, na mafuta Lita 100 kwa ajili ya safari ya kwenda Dar Es Salaam kuivusha Simba yao kwenda Nusu Fainali


Kupitia ukurasi wa Instagram wa Afisa Habari wa Simba Ahmed Ally kuna taarifa inasema "Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amewachangia Wana Simba wa Tawi la Igoma Mwanza Shilingi Milioni Moja, na mafuta Lita 100 kwa ajili ya safari ya kwenda Dar Es Salaam kuivusha Simba yao kwenda Nusu Fainali Asante


Mheshimiwa kwa support yako kwa Wana Simba waje kuipambania timu yao iende Nusu Fainali… HII TUNAVUKA,"

No comments:

Post a Comment