BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI KUMUAGA MZEE MSUYA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, May 11, 2025

BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI KUMUAGA MZEE MSUYA



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akitoa salaam na heshima za mwisho wakati wa kuaga mwili wa Hayati Mzee Cleopa David Msuya, Makamu wa Kwanza na Waziri Mkuu Mstaafu, shughuli iliyoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, baada ya ibada, iliyofanyika Viwanja vya Karimjee, jijini Dar Es Salaam, leo Jumapili, tarehe 11 Mei 2025.







No comments:

Post a Comment