
Matukio katika picha kikao cha Kamati Tendaji ya Maandalizi ya Mazishi ya Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Cleopa David Msuya kilichofanyika tarehe 09 Mei, 2025 katika Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es Salaam.




Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WiLDAF Tanzania), kwa kushirikiana na mtandao wa kupambana na ukatili wa kijin...
No comments:
Post a Comment