
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akitoa pole kwa wafiwa msibani kwa Hayati Cleopa Msuya, Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu nyumbani kwake Upanga Jijini Dar es Salaam leo 10 Mei, 2025.






📌 Zaidi ya Shilingi Bilioni 10.9 kutumika 📌 Wananchi wasisitizwa kulinda miundombinu ya umeme Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tan...
No comments:
Post a Comment