UFUNGAJI RASMI WA MASHINDANO YA UMITASHUMTA & UMISSETA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, June 29, 2025

UFUNGAJI RASMI WA MASHINDANO YA UMITASHUMTA & UMISSETA


Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Tanzania kwa Shule za Msingi na Sekondari Nchini, yanahitimisha rasmi leo juni 29,2025 Mkoani Iringa.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Dkt.Festo Dugange anaongoza sherehe hizo za ufungaji katika viwanja vya Shule ya Sekondari Lugalo Manispaa ya Iringa.

Mashindano ya UMITASHUMTA & UMISSETA 2025, yalifunguliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Juni 09,2025.

Ofisi ya Rais-TAMISEMI ndiyo iliyoandaa Mashindano hayo,ikishirikiana na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.









No comments:

Post a Comment