
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, ameibuka rasmi kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge wa Jimbo la Kyela kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea leo Julai 1, 2025, katika ofisi za chama hicho wilayani humo.








No comments:
Post a Comment