KATIBU MKUU MSTAAFU ARCH. ELIUS MWAKALINGA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE KYELA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Tuesday, July 1, 2025

KATIBU MKUU MSTAAFU ARCH. ELIUS MWAKALINGA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE KYELA


Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, ameibuka rasmi kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge wa Jimbo la Kyela kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea leo Julai 1, 2025, katika ofisi za chama hicho wilayani humo.







No comments:

Post a Comment