DKT. SAMIA AWASILI ZANZIBAR, KUENDELEA KUZISAKA KURA KUELEKEA OKTOBA 29, 2025 - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Monday, September 15, 2025

DKT. SAMIA AWASILI ZANZIBAR, KUENDELEA KUZISAKA KURA KUELEKEA OKTOBA 29, 2025



Mgombea wa Nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na wananchi wa Kiembe samaki Visiwani Zanzibar mara baada ya kuwasili Visiwani humo Septemba 14, 2025 kwaajili ya kuendelea na kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Dkt. Samia ametokea Mkoani Kigoma alipokuwa na mikutano ya Kampeni kwenye Ukanda huo wa Magharibi akitokea kwenye Mikoa ya Kusini Magharibi.











No comments:

Post a Comment