
Maelfu ya Wananchi wa Kazuramimba, Uvinza Mkoani Kigoma waliohudhuria mkutano wa kampeni za uchaguzi Mkuu za Mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Septemba 13, 2025.

















Kaimu Kamishna Msaidizi Idara ya Fedha za Nje, Wizara ya Fedha, Bw. Joseph Haule, akizungumza wakati akifungua warsha ya siku moja yenye len...
No comments:
Post a Comment