Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano mkubwa wa kampeni uliofanyika leo, tarehe 18 Septemba, 2025, katika Jimbo la Nungwi, visiwani Zanzibar.
Thursday, September 18, 2025
New
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM, DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIWA KATIKA KAMPENI - NUNGWI, ZANZIBAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment