
Mamia ya wananchi wa Mchinga, Mkoani Lindi leo Alhamisi Septemba 25, 2025 wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumlaki na kumsikiliza Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea na Mikutano ya hadhara ya Kampeni zake kuelekea uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.





No comments:
Post a Comment