
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kampeni za uchaguzi Mkuu kwenye Viwanja vya Kaitaba, Bukoba Mjini Mkoani Kagera leo Alhamisi Oktoba 16, 2025.

Serikali imeendelea kuweka mikakati madhubuti ya kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha uzalishaji wa dawa na vifaa tiba barani Afrika kupitia uw...
No comments:
Post a Comment