
Picha za matukio tofauti zikimuonesha Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa Mkutano wake wa kampeni za uchaguzi Mkuu kwenye Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara leo Ijumaa Oktoba 10, 2025 kwenye Viwanja vya Mwenge, Mugumu Serengeti.









No comments:
Post a Comment