
Picha za matukio mbalimbali zikimuonesha Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa Mkutano wake wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 kwenye Viwanna vya Tanesco Buza, Wilayani Temeke Mkoani Dar Es Salaam leo Alhamisi Oktoba 23, 2025.





No comments:
Post a Comment