Picha za matukio mbalimbali zikimuonesha Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 19, 2025 kwenye Viwanja vya Kizitwe, Sumbawanga Mjini Mkoani Rukwa, wakati wa mkutano wake wa mwisho wa Kampeni Mkoani humo.
Sunday, October 19, 2025
New
DKT. SAMIA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI SUMBAWANGA MJINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)









No comments:
Post a Comment