
Umati mkubwa wa wananchi wa Kahama Mkoani Shinyanga wakiwa wamefurika kwenye Mkutano wa kampeni za Mgombea wa nafasi ya Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Oktoba 11, 2025.









Na Carlos Claudio, Dodoma. Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtumba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, amewataka wananchi wa jimbo...
No comments:
Post a Comment