
Na Mwandishi Wetu, Kibaha,Pwani
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa TARURA Bi. Catherine Sungura leo tarehe 27/11/2025 amehitimu Shahada ya Umahiri ya Sanaa katika Mawasiliano kwa Umma katika Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) katika mahafali ya 44 yaliyofanyika Kibaha Mkoani Pwani.
Akiongea na waandishi wa habari Bi. Sungura amesema kwamba Shahada hiyo ni hatua inayotarajiwa kuongeza weledi katika usimamizi wa taarifa za taasisi, kuimarisha utoaji wa taarifa kwa wananchi pamoja na kuendeleza ushirikiano na wadau ili kuboresha taswira ya TARURA katika utekelezaji wa majukumu yake nchini.


Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa TARURA Bi. Catherine Sungura leo tarehe 27/11/2025 amehitimu Shahada ya Umahiri ya Sanaa katika Mawasiliano kwa Umma katika Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) katika mahafali ya 44 yaliyofanyika Kibaha Mkoani Pwani.
Akiongea na waandishi wa habari Bi. Sungura amesema kwamba Shahada hiyo ni hatua inayotarajiwa kuongeza weledi katika usimamizi wa taarifa za taasisi, kuimarisha utoaji wa taarifa kwa wananchi pamoja na kuendeleza ushirikiano na wadau ili kuboresha taswira ya TARURA katika utekelezaji wa majukumu yake nchini.



No comments:
Post a Comment