Wajumbe wa Bodi ya Chuo cha Maji (Water Institute) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dr. Maulid J. Maulid wamekutana Aprili 28, 2026 jijini Dar Es Salaam kwa kikao cha 46 cha Bodi hiyo kujadili masuala ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utoaji wa huduma za kitaaluma na miradi ya maendeleo itakayoboresha ufundishaji na ujifunzaji.
Wednesday, April 29, 2026
New
DKT. MAULID AONGOZA KIKAO CHA BODI YA CHUO CHA MAJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)














No comments:
Post a Comment