MMUYA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU,WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Wednesday, December 14, 2022

MMUYA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU,WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt.Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi

Ambapo katika teuzi hizo aliyekuwa Naibu katibu Mkuu ,Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Bw.Kaspar Mmuya ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu,Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Amemteuwa pia Dkt.Hashil Twaib Abdallah kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji,Viwanda na Biashara ambapo kabla ya hapo Dkt.Abdallah alikuwa Naibu Katibu Mkuu,Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara.

No comments:

Post a Comment