HABARI KATIKA PICHA: NAIBU WAZIRI NDERIANANGA AWAONGOZA WATUMISHI WA OFISI YA WAZIRI MKUU KATIKA MKUTANO WA MAZINGATIVU JIJINI ARUSHA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Friday, August 11, 2023

HABARI KATIKA PICHA: NAIBU WAZIRI NDERIANANGA AWAONGOZA WATUMISHI WA OFISI YA WAZIRI MKUU KATIKA MKUTANO WA MAZINGATIVU JIJINI ARUSHA

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akifuatilia uwezeshaji wa Mada Mbalimbali katika Mkutano wa Mazingativu kwa Viongozi, Watumishi na Taasisi za Ofisi ya Waziri Mkuu.
Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania Bw. Mohamed Ali Ahmed akichangia jambo wakati wa Mkutano wa Mazingativu kwa Viongozi, Watumishi na Taasisi za Ofisi ya Waziri Mkuu.
Muwezeshaji Dkt. Chris Mauki akiwasilisha mada katika Mkutano wa Mazingativu unaoendelea Mkoani Arusha, kwa Viongozi, Watumishi na Taasisi za Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu)
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima akichangia jambo wakati wa Mkutano wa Mazingativu kwa Viongozi, Watumishi na Taasisi za Ofisi ya Waziri Mkuu.


Na Mwandishi wetu Arusha 

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amewaongoza Viongozi Watumishi na Taasisi ya Ofisi ya Waziri Mkuu katika Mkutano wa Mazingativu unaoendelea Jijini Arusha.


Mkutano unaolenga katika kuongeza Ufanisi na uwajibikaji katika utendaji wa kazi ikiwa ni pamoja na Uratibu wa Shughuli za Serikali.

No comments:

Post a Comment