Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi Jumatatu, Februari 26, 2024, alimtembelea kumjulia hali Mwenyekiti wa Umoja wa Mamlaka ya Viongozi wa Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, Mhe. Murshid Ngeze, katika Hospitali ya CCBRT, jijini Dar Es Salaam, ambako Diwani huyo wa Kata ya Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Bukoba, mkoani Kagera, amelazwa kwa ajili ya matibabu.
Tuesday, February 27, 2024
New
DKT. NCHIMBI AMJULIA HALI MWENYEKITI ALAT TAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment