DKT. DUGANGE AJITOSA TENA UBUNGE WANGING'OMBE - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, June 28, 2025

DKT. DUGANGE AJITOSA TENA UBUNGE WANGING'OMBE


Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Wanging'ombe ambaye ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Afya Dkt. Festo Dugange amejitosa tena kwa mara nyingine kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi - CCM baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge leo Juni 28,2025



No comments:

Post a Comment