
Wananchi na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilayani Bahi Mkoani Dodoma leo Septemba 09, 2025 wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye Mkutano wa kampeni za Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan





Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe (Mb.) ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano...
No comments:
Post a Comment